Habari za asubuhi, siku ya tatu, 010426
- Jimboni Kivu kaskazini, mapigano makali yamekuwa yakiendelea, tangu siku mbili, kati ya waasi wa AFC/M23, na makundi yenye silaha ya "Wazalendo" katika maeneo kadhaa ya kusini, mwa eneo la Lubero.
- Jimboni Kivu kusini, Ushindi wa Vikosi vya Wanajeshi , vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo FARDC , Zhidi ya kundi la waasi , linaloongozwa na anayejiita Jemadari Amisi Sisawa, ama Muswahili, una Wa semesha Watu , katika eneo la Shabunda.
- Mjini Kinshasa, Baada ya kusikilizwa kwa mara ya pili, kwa mganga kiongozi wa Hospital ya Kinkole, madaktari kadhaa, na mashahidi wawili,Mahakama Kuu ya Kinshasa/Kinkole, ime amuwa kuahirisha kesi hiyo , hadi Siku Ya tatu , tarehe moja , Ya mwezi Wa ine.
- /sites/default/files/2026-03/010426-p-s-journalswahili-mercredimatin-web.mp3






