Habari za siku ya pili tarehe 240226
- Jukwaa la majimbo linalohusu suala la waasi wa ADF, limefunguliwa , asubuhi ya Siku ya kwanza hiii mjini Beni, mji mkuu wa muda, wa Kivu Kaskazini.
- Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi CENI kwa kifupi , imefunga muda wa maombi , ya nafasi za ugavana, na makamu wa gavana wa jimbo la Sankuru, tangu saa ine asubuhi , Siku ya kwanza hiii , katika Ofisi ya Mapokezi , na Mchakato wa Wagombea (BRTC) huko Lusambo.
- Gavana wa Benki Kuu ya Kongo BCC , alitia saini mkataba wa kimkakati, na DRC Gold Mining SA, Siku ya tano iliopita, tarehe makumi mbili ,mwezi wa pili , mjini Kinshasa, ili kuimarisha hifadhi ya dhahabu ya KONGO.
- /sites/default/files/2026-02/2402026-journalswahilimardimatin-web.mp3




