Journal matin

Habari za siku ya pili asubuhi tarehe 17/10/2023

  • Mahakama kuu yani Cour de cassation ilianza shughuli zake siku ya kwanza hii kwa mwaka wa elfu mbili makumi mbili  na tatu na mwaka elfu mbili makumi mbili na inne .
  • Habari kuhusu  kesi ya Salomon Idi Kalonda, mshauri maalum wa Moïse Katumbi, daktari wake anathibitisha kuzorota kwa hali yake ya afya.
  • Katika jimbo la Mai-Ndombe, hali ya usalama inaanza kuimarika katika eneo la Kwamouth, ambalo lilikumbwa na ukosefu wa usalama unaosababishwa na wanamgambo wa Mobondo, kufuatia mzozo wa jamii za Teke-Yaka kwa zaidi ya mwaka mmoja.
  • Waziri wa Kilimo wa inchin la Kongo  anawahimiza wafanyakazi  katika sekta yake nchini  kongo kuiga  hali ya kilimo kama inavyofanyika  katika shamba la kilimo na ufugaji  la kibinafsi  la MKM, Mike Kasenga Mulenga katika  mtaa wa Maluku.
  • Jimboni Ituri, karibu makao mia moja ya  wakimbizi  wa eneo la Nyamusasi yalisombwa na upepo mkali ulioambatana na mvua siku ya sita katika  usulutani wa Bahema Banywagi mtaani Djugu.
  • Katika  mtaa wa Beni jimboni ./sites/default/files/2023-10/171023-p-s-kinjournalswahilimatingraceamzati-00_web.mp3