Journal Matin

Habari z'asubuhi 9 Januari, 2025

  • Lubumbashi: UNPC inalaani mauaji ya mwanahabari Patrick Numbi
  • Goma: Waliojeruhiwa kwa Vita kutibiwa na timu za MSF huko Masisi na Minova huko Kivu Kusini
  • Goma: Hali ya kijeshi huko Masisi pa  Ngungu na Sake
  • Kinshasa: Kushuka kwa  bei ya Samaki maarufu mpiodi pa Kinshasa
  • Mbuji mayi: Kampuni ya GREC 6  yasitisha kazi ya ukarabati wa barabara ya Mbujimayi
  • Kinshasa: Ufuatiliaji wa kazi ya ukarabati kwenye Barabara ya Chuo Kikuu cha Kinshasa
  • Bukavu: Maandamano ya kupinga uchimbaji haramu wa madini na msaada kwa FARDC
  • Bandundu: Madiwani wa manispaa ya Inongo wako kwenye shida./sites/default/files/2025-01/090125-p-s-journalswahilimatin-00-web.mp3