Journal Matin

Habari z'asubuhi 23 Januari, 2025

  • Kinshasa : Hotuba ya Rais wa Kongo Felix Tshisekedi katika kongamano la kiuchumi la dunia  mjini Davos, Uswizi
  • Lubumbashi: Uhaba wa mafuta ya gari umeonekana katika vituo vya huduma
  • Mbuji mayi: Ongezeko la bei ya lita moja ya petroli huko Tshumbe, Lodja
  • Bandundu: Mawakala na watumishi wa umma wa Jimbo la Kasongo Lunda wanadai mishahara ya miezi tano
  • Goma: Ripoti ya  Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Masuala ya Kibinadamu kuhusu hali ya kibinadamu
  • Beni: Wakimbizi wa vita elfu mia mbili  katika sehemu ya kaskazini ya mkoa wa Kivu Kaskazini
  • Kananga: Mkataba wa amani uliotiwa saini na jumuiya mbili
  • Kinshasa: Ukosefu wa usalama katika Kata CPA/MUSHI,  wakazi wanazungumizia wasiwasi wao./sites/default/files/2025-01/230125-p-s-journalswahilimatin-00-web.mp3