Journal Swahili

Habari za asubuhi siku ya tano, tarehe 200226

  • Naibu Waziri Mkuu wa Mambo ya Ndani Jacquemain  Shabani , alifanya mkutano muhimu Siku ya tatu  hii , na amri kuu ya Polisi ya Kitaifa ya Kongo, Ndio kusema ,  Kamisha  Jenerali, na manaibu wake watatu, ili ku zungmuzia mambo yote muhimu, yanayo husiana na opereshen za polisi, changamoto na mageuzi.
  • Naibu Mwakilishi wa Ofisi ya Pamoja ya Haki za Kibinadamu , ya Umoja wa Mataifa , injini Congo , alitembelea wakimbizi  siku ya tatu iliopota katika ma eneo ya Kasenyi na Tchomia, yaliyoko , zaidi ya kilomita makumi tano , kutoka Bunia.
  • Mangaribi mwa Siku ya tatu hiii iliopita , katika mtaa wa Ndesha, mji wa Kananga,  mwanamke mjamzito alifariki baada ya nyumba kuporomoka kwenye korongo.
  • /sites/default/files/2026-02/20022026-p-s-journalswahili-vendredimatin-web.mp3

Dans la même catégorie

25/02/2026 - 16:18
/
25/02/2026 - 16:13
/
25/02/2026 - 14:19
/
25/02/2026 - 13:56
/