Habari za asubuhi, siku ya ine 190326
- Wabunge kutoka Ituri wana shutumu mashambulizi yanayohusishwa na ADF katika eneo la Mambasa , na Wana tangaza kuwa, hatua Zita chukuliwa kwa hio.
- Tangu siku chache Katika muji Wa Lubumbashi , bei ya unga wa mahindi , imepanda sana .
- Katika mji wa Goma , tangu mwezi sita , vituo kadhaa vya afya , vina pokeya kesi nyingi mpya , za wagonjwa wa surua .
- /sites/default/files/2026-03/19032026-p-s-journalswahilijeudi_matin-web.mp3






