- Kongamano la majimbo linalohusu suala la ADF lime malizika mjini Beni, mji mkuu wa muda wa Kivu Kaskazini , Siku ya tatu hii .
- Miaka nane , zimepita , tangu maandamano ya Wakatoliki , yaliyo sababisha kifo cha mwanaharakati wa Kikatoliki, Rossy Mukendi Tshimanga, aliyeuawa wakati wa maandamano haya ya amani , katika wilaya ya Lemba, mjini Kinshasa.
- Mamlaka ya Mapato , DGRKAS ya Kasai, imefunga huduma zote za Umeme ya Kongo Siku ya kwanza hii iliopita .
- /sites/default/files/2026-02/260226-journal_swahili_jeudi_matin-web.mp3





