Habari za mangaribi, siku ya kwanza 060426
- Katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Huu ni Mwaka Wa pili , ambao Siku Ya sita Ya mwezi Wa ine , ni sikukuu ya umma, iliyowekwa kwa Ku kumbuka kazi kubwa ya Simon Kimbangu , kwa ajili ya Afrika .
- Jimboni Ituri, wakaaaji wako katika hali ya hofu, kwani waasi wa ADF , wameingia tena Mambasa-Centre.
- Jimboni Maniema, wafungwa katika gereza kuu la Punia, wanaishi katika hali ngumu sana, hata isiyo ya kibinadamu, kwani tangu miezi mingi , gereza hii haipokeyi ruzuku , ama msaada Wa serikali .
- /sites/default/files/2026-04/060426-journalswahili-lundisoir-web.mp3








