Habari za mangaribi, siku ya kwanza 300326
- Waziri wa Sheria Guillaume Ngefa , ame hakikisha kuwa, kipindupindu kimekuwepo, katika gereza Mbanza ngungu, tangu tarehe makumi mbili na Saba ya mwezi Wa tatu.
- Katika jimbo la Ituri, wanyama wanao tembeya katika uwanja wa ndege wa Bunia, wanahatarisha ndege , na Wa safiri.
- Katika jimbo la Maniema, Mamlaka ya Mto (RVF), sekta ya kwanza ya Lualaba–Ubundu–Kindu, ina tangaza kwamba, viwango vya maji katika Mto Kongo , vime panda.
- /sites/default/files/2026-03/300326-journalswahili-lundisoir-web.mp3








