Habari za asubuhi, siku ya pili 310326
- Timu ya taifa ya Wa cheza mpira , ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Leopards, ita cheza na timu ya Reggae Boys ya Jamaïca , Siku Ya pili hii, tarehe makumi tatu na moja , ku wania kufuzu , kwa fainali Ya Kombe la Dunia , la Mwaka huu elfu mbili makumi mbili na sita.
- Waziri wa Sheria Guillaume Ngefa , ame hakikisha kuwa, kipindupindu kimekuwepo, katika gereza la Mbanza ngungu , tangu tarehe makumi mbili na Saba ya mwezi Wa tatu.
- Katika jimbo la Ituri, wanyama wanao tembeya katika uwanja wa ndege wa Bunia, wanahatarisha ndege , na Wa safiri.
- /sites/default/files/2026-03/310326-journalswahili-mardimatin-web.mp3







