Journal Swahili de mardi soir 170326

Habari za mangaribi siku ya pili 170326

  • Baada ya Ku kataa Ku tumika , kwa madereva wa teksi na mabasi , Siku ya kwanza hiii iliopita mjini Kinshasa , Madèreva Wa chache  wame rudi  kazini ,siku ya pili hiii. 
  • Katika Jimbo la  Ituri, zaïdi ya watu kumi wame uawa , na nyumba zime chomwa ,  katika shambulio la watu wasiojulikana wenye silaha huko Babesua, katika eneo la Mambasa.
  • Jimboni Kasai Oriental, Mahakama Kuu ya Mbuji-Mayi imefungwa tangu Siku ya kwanza iliopita .
  • /sites/default/files/2026-03/17032026-p-s-journalswahilisoir-web.mp3