Habari za asubuhi siku ya tatu 110326
- Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, anashiriki katika maazimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake na kikao cha makumi Saba , cha Kamishen ya Hazi ya Wanawake mjini New York, chini ya mada: "Haki, sheria, vitendo kwa wanawake, na wasichana wote."
- Huko Mahagi, jimbo la Ituri, zaidi gari mia tatu za gari zinazobeba mafuta ya petroli , kwa sasa zime simamishwa .
- Chama cha Kitaifa cha Machifu wa Jadi, tawi la Fizi , kinatetea kuishi pamoja kwa amani miongoni mwa jamii mbalimbali , za eneo hili, lililo sambara tishwa kwa muda mrefu, na migawanyiko, ya makabila.
- /sites/default/files/2026-03/110326-p-s-journalswahilimercredimatin-web.mp3



