Habari za mangaribi, siku ya tatu 040326
- Jimboni Kivu Kaskazini, maporomoko ya arzhi, yalipiga eneo la uchimbaji madini la Gasasa, ilioko kilomita tano kutoka Rubaya - centre , katika eneo, la Masisi.
- Muji Wa Lubao, jimboni LOMAMI , ulipokea umeme mwisho Wa juma iliyopita, kwa mara ya kwanza.
- Gavana Wa Jimbo la Ituri , Jemadari Johnny Luboya N’kashama, ali zungumza na waendeshaji wa sekta ya madini huko Bunia, Siku ya kwanza iliopita , Ku Wa onesha kuwa , kila gramu Ya zahabu , ina sahidiya Ku jenga shule , ma Barabara , hâta vituo vya afia, Katika Jimbo hilo.
- /sites/default/files/2026-03/04032026-journalswahili-mercredisoir-web.mp3








