Habari za mangaribi, sdiku ya tano 030426
- Kongamano la tatu la Kiuchumi , Kati ya Congo na-Angola lili malizika Siku Ya ine hii iliopita mjini Kinshasa.
- Kuhusu kufuzu kwa Timu Ya taïfa Leopards, kwa Kombe la Dunia la Mwaka elfu mbili makumi mbili na sita, Kiongozi wa Bunge la Kitaifa, Aimé Boji Sangara, anaona kuwa , ushindi huu Wa Timu la taïfa , ni zaidi ya mafanikio ya kimichezo.
- Jimboni Ituri, Jeshi la Congo FARDC , ilianzisha opereshen, ya kuwasaka waasi wa ADF , huko Bafwakoa, katika eneo la Mambasa, Siku Ya ine hii iliopita .
- /sites/default/files/2026-04/030426-p-s-journalswahili-vendredisoir-web.mp3




