Habari za siku ya tano asubuhi tarehe 270226
- Kongamano la majimbo , linalo husu suala la ADF, ambalo lili malizika Siku ya tatu iliopita , Katika muji wa Beni, mji mkuu wa muda wa Kivu Kaskazini, lilisababisha , mfululizo, wa ahadi kali.
- Katika wilaya ya Kisenso mjini Kinshasa, Kijana mwenye umri wa miaka makumi tatu alimuua mama yake , na aka mkula kipande .
- Kiboko kime mu uwa msichana mwenye umri wa miaka kumi na moja , katika kijiji cha Mwenyambulu, sekta ya Lueta , eneo la Luiza.
- /sites/default/files/2026-02/270226-journalswahivendredimatin-web.mp3





