Journal Swahili de vendredi soir 200326

Habari za mangaribi , siku ya tano 200326

  • Kila mwaka mnamo mwezi Wa tatu  , tarehe makumi mbili ,  ulimwengu una azimisha  Siku ya Kimataifa ya Francophonie, ama ki farança .
  • Waziri anaye husika na Rasilimali za Maji na Umeme injini Congo ,  alizindua Moduli ya pili na ya tatu  ya kituo cha kusafisha maji cha Binza ozone ,  Siku  ya tatu iliopita  ,  katika wilaya ya Ngaliema , mjini Kinshasa. 
  • Jimboni  Kivu Kaskazini, wakaaji wa Sake na vijiji vinavyozunguka , wanashutumu kuongezeka kwa ukosefu wa usalama,  miezi miwili iliyopita , huko  Kamuronza, Katika  eneo la Masisi.
  • /sites/default/files/2026-03/200326-journal_swahili-vendredisoir-web.mp3