Journal Swahili de vendredi soir 270226

Habari za siku ya tano mangaribi tarehe 270226

  • Bi Juliana Amato Lumumba , ambaye ni mtoto wa Patrice Emery Lumumba, waziri mkuu wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo , ndiye mgombea wa Congo wa katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa,  la Francophonie.
  • Jimboni  Kivu Kaskazini, kwa Mwaka mmoja pekee ,  watoto wanafunzi zaïdi ya elfu mbili ,mia moja na makumi sita ,  kutoka shule kumi na ine  huko Goma na Sake ,  Hawa endi tena shuleni . 
  • Katika eneo la Fizi, mvua kubwa iliyonyesha , Siku ya ine hii iliopita, mwezi tulimo , ilisababisha uharibifu mkubwa wa kibinadamu na nyenzo,  katika sekta ya Mutambala, kijiji cha Mukera.
  • /sites/default/files/2026-02/270226-journalswahilivendredisoir-web.mp3