01. Kinshasa : Déni ya uma ya inchi ya jamuhuri ya kidemokrasia ya kongo yana tambuka kwa sasa miliare 10 dola za kimarekani kwa muda wa myaka 5.
02. Lubumbashi : Skibaruwa cha malalamiko cha wasimamizi wa miungano za shirika za raiya ndani ya jimbo 26 za inchi DRC
03. Kinshasa : Matamshi ya kisiasa ya chama ANCL ukiomba waziri mkuu wa serkali kusafisha mazingira ya kibiashara
04. Kinshasa : Makabila za wa Teke na wa Yaka wana saihi mukataba wa kufanya amani
05. Beni : Shirika la raiya lina omba Jeshi FARDC kuchukuwa kwa uzito taazari za wakaaji kuusu kuweko kwa waasi wa ADF
06. Goma : Vijana wa Rutchuru wana shutumu kuhorozeshwa kwa vijana huko
07. Goma : Ujumbe kwenye shamba la mapigano maafa mkengi kutokana na kutupwa kwa ma Bomu
08. Goma : Uharibifu wa hali ya kijamii na mazingira na Afya kwenye kambi za wakimbizi /sites/default/files/2024-04/08_04_2024_journal_swahili_matin_web.mp3