Habari za mangaribi ya siku ya tano tarehe 200226
- Baada ya mvua kubwa iliyonyesha mjini Kinshasa asubuhi ya Siku ya tano hii , wilaya kadhaa zime ripoti uharibifu mkubwa wa nyenzo na kupoteza maisha.
- Licha ya kutangazwa ku sitisha mapigano mnamo tarehe kumi na mnane ya mwezi huu wa pili , mapigano yanaendelea kati ya FARDC na waasi wa AFC/M23 , wanaoungwa mkono na Rwanda, huko Kivu Kaskazini na Kusini.
- Tume Huru la Kitaifa inayo husikia uchaguzi injini Congo , CENI kwa kifupi , imekabizi rasmi , daftari la uchaguzi , la Mwaka elfu mbili makumi mbili na mbili , kwa Ofisi ya Kitaifa ya Vitambulisho vya raïa ( ONIP) , Siku ya ine hiii iliopita , mjini Kinshasa.
- /sites/default/files/2026-02/20022026-p-s-journalswahili-vendredisoir-web.mp3







