Habari za mangaribi, siku ya kwanza 090326
- BUNIA
Muungano wa wanajeshi wa Kongo na Uganda , wame hakikisha kwamba , wame haribu ngome ine za waasi wa ADF, na kuwaua wapiganaji wao kadhaa , katika eneo la Ekulungu, huko Mambasa - BENI
Gereza la Kangwayi huko Beni , lime jazwa na watu kupita kipimo, na hali ya wafungwa ni ngumu - MBUJIMAYI
Katika Bunge la Jimbo la Kasai Oriental , baraza la wazi lililo anzishwa juma jana na Tume ya Udhibiti wa Uchumi, Fedha, na Bajeti (Ecofin kwa kifupi ) , Lime wapa wakaaji wa Mbujimayi, nafasi Ya ku inuwa sauti Zao , kuhusu mahitaji na shida Zao , kwa wachaguliwa wa Jimbo. - /sites/default/files/2026-03/090326-journal_swahili-web.mp3





