Journal Swahili Soir, 27 Juillet 2026.

Huko jimbo la Lualaba, Idadi ya vifo vya ajali ya Lubudi yaongezeka hadi 17, mazishi ya waathiriwa yanatarajiwa kufanyika katika saa zijazo.

KASKAZINI MWA KIVU: Viongozi wa kimila wa Beni wanalaani kuendelea kwa ukosefu wa usalama na kuitaka serikali kuimarisha ulinzi wa raia.

ITURI: Vituo vya afya vya sekta kibinafsi Nia-Nia vinapunguza huduma kutokana na Ebola, huku waongozi wanohusika namapambano hupinga hatua hiyo.

/sites/default/files/2026-07/270726-p-s-journal_complet_soir-00.mp3

Dans la même catégorie

28/07/2026 - 16:47
/
28/07/2026 - 16:45
/
28/07/2026 - 14:55
/