- Kinshasa:Kesi ya mara kwanza kunako korti ya kikatiba kuhusu mapendekezo ya mgombea wa muungano LamukaMartin Fayulu Madidi
- Bunia:wagombea ubungejimboni Ituri wenye walishindwa kwa uchaguzi wa tarhe makumi tatu disemba iliopita wana kosa ma pv kwa kujitetea
- Kananga:Kuhusu wabunge kuteuliwa katika jimbo la Kasaicentral
- Kinshasa:Cafco ina omba kwa viongozi wa siku za usoni waweke wana wake kwa uwingi ndani ya kazi ya serkali na pya kwenye makampuni
- Beni:Kijiji cha MAVIVI kina kosa wakaji
- Kinshasa:Jean Louis Kayembe ana fasiria tangazo la benki ya taifaa kuhusu bey ya kuvunja noti./sites/default/files/2019-01/15012019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3