- Goma:wapiganaji wazamani wa M23 ya pata makumi masita na saba pamoja na majamaa zao walifika leo mjini Goma kutoka inchi ya Uganda
- Kinshasa:Kutoroka kwa wafungwa gerezani kuu la Bandundu katika jimbo la Kuilu
- Kinshasa:ziara ya kazi ya raissi felix Tshisekedi mjini Windhoek inchini Unamibia
- Kinshasa:Kikao cha ofisi kwa mda ya baraza la bunge ya taifaa na waziri wa serkali ya ufalme wa ubelgiji
- Kinshasa:Baruwa ya mashitaka ya Luzolo Bambi kwa mkata mashtaka mkuu wa inchi kuhusu rushwa wakati wa kutayarisha uchaguzi wa maliwali na ma seneta inchini
- MbujMay:Korti kuu ya jimbo la kasai centrale lina hukumu
- Bukavu:jimbo la Sud Kivu limepata miji mitatu mpya./sites/default/files/2019-02/26022019-a-s-journalswahilisoir17h00-00.mp3