- Kinshasa:kujiuuzulu kazini ya kocha wa Leopards ya jamuhuri ya kidemocracia ya Kongo
- Kinshasa:Mazungumzo kati ya waziri mkuu na ujumbe wa Cach na Fcc kuhusu mawaziri wa serkali
- Kinshasa:kikao cha shirikisho ya walimu wa chuo kikuu Apukin
- Bunia: watu saba walifariki kwa mapambano kati ya vikosi vya taifaa na washambuliaji katika jimbo la Ituri
- Goma:kikao cha Gisenyi kuhusu virusi y'Ebola mapatano kati ya rwanda na DRC
- Uvira:Mpangilio ya HCR kwa kupiganisha uambukiaji wa ugonjwa kwa virusi y'Ebola ndani ya ma kambi
- Kindu:Uzamini kwa wana funzi kumi kutoka kwa senata Augustin Matata Mponyo./sites/default/files/2019-08/07082019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3