- Kinshasa:ufunguzi wa kikao siwo kawaida cha bunge la kitaifaa leo siku ya kwanza mjini Kinshasa
- Kinshasa:Waziri mkuu ametoa toleo la kwanza la serikali kwa mkuu wa nchi
- Kananga:Liwali wa Lomami anatangaza vipaumbele vya jimbo lake
- Kinshasa:siku ya kibinadamu ya ulimwenguni
- Beni:Shambulizi nyipya la EDF jana usiku pale Mbau mtaani Beni katika jimbo la Nord Kivu
- Beni:Mji bila kazi shirika la kiraia wana dai usalama katika eneo ilo la Beni
- Goma:Iccn hutoa vifungu vya kukabiliana na Ebola./sites/default/files/2019-08/19082019-a-s-journalswahilisoir17h00-00_0.mp3