- Bunia:Watu kumi na mmoja waliuawa katika mashambulio mawili mtaani Djugu humo jimbo la Ituri
- Goma:Marc kavota wa CEPADHO anaomba jeshi la taifaa wachukuwe mpango baada ya kifo cha Mudacumura ili kujieupusha na hatari ya kujilisha kisasi
- Kinshasa:kwanza kwa malipo ya walimu nchini
- Kisangani:Askofu Marcel utembi juu ya bure
- Kindu:Ugumu wa uendeshaji wa kazi katika shule zingine za jimbo la Maniema sababu ya bure
- Bukavu:hatua zilizochukuliwa mashuleni kwa ajili ya ulinzi wa wanafunzina waalimu dhidi ya Ebola
- Kongo Central:Gavana na makamu wake walirusiwa kurudi jimboni ili kuwezesha kikao na baraza la jimbo./sites/default/files/2019-09/19092019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3