- Kinshasa:Beni mji bila kazi,hali ya jimbo Nord Kivu sababu ya mauaji ya wakaji wa eneo la Beni
- Goma:Baraza la Wazee linaalika kwa amani na ukimia wakati huu wa mvutano kutatiza jimbo la Nord Kivu
- Kinshasa:Hotuba yake Katibu makamu wa umoja wa mataifaa ausika na opersheni za amani nchini humu Jean Pierre La Croix
- Kisangani:majibu kiisha mapatano kati ya jamhuri ya Kongo na Uganda
- Kinshasa:Kufungwa kwa Dieudonné Lobo na washiriki wake wawili
- MbujMay:Maandamano ya vijana ya Lusambo dhidi ya aagizo za wabunge wa jimbo la Kasai
- Lubumbashi:Hospitali ya kambi la polisi lilibomolewo na mvua ya hapa karibu,mganga kiongozi ana piga yowé humo jimbo la Haut Katanga./sites/default/files/2019-12/02122019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3