- Matadi:Wafanya byashara wameitajiika kupunguza bei ya mahitaji ya msingi humo jimbo la Kongo Central
- Kinshasa:hatua za serikali za kusambaza mji wa Kinshasa
- Goma:Ufuatiliaji wa kusimamishwa kwa trafiki kwenye Ziwa Kivu toka jimbo la Nord Kivu huenda jimboni Sud Kivu
- Kinshasa:Hadi hali ya tarehe Covid-19 nchini Kongo ya kidemocrasia
- Bukavu:FARDC sekta ya Sokola 2 wana anzisha kampeni ya ku sisitiza kuhusu Covid-19
- Beni:Kufubgwa kwa vituo kadhaa vya mpito vya Ebola na vituo vya matibabu huko Nord na Sud Kivu na pia Ituri
- Bunia:Monusco inasaidia oparesheni za kijeshi katika djugu jimboni Ituri
- Kinshasa:Mbunge mteule/sites/default/files/2020-04/01042020-a-s-journalswahilisoir-00.mp3 wa Maniema anaiita serikali ya ilunga kusaidia serikali ya Maniema.