Journal Swahili Soir

  • Kinshasa:Mwito wa wafanyikazi wa serikali upatikana mbali na familia sababu ya Covi-19
  • Bukavu:Mji wa Bukavu imetengwa na mitaa zote za eneo ilo la Sud Kivu
  • Bandundu:Wakaji wa Bandundu wana tumia  dawa ya Kongo Bololo wakizaniwa kujikinga na Covid-19
  • Kinshasa:Waziri ausika na ujenji na makao ana alika wenyezi wa manyumba  wasifukuze wapangayi wao kwa kuzuia Covid-19
  • Kinshasa:hali ya Covid-19 leo nchini humu kama imetolewa na INRB
  • Bunia:watu elfu saba wamekimbia bupya mtaa wa Djugu wanaiitaji msaada ya kiuutu pale Bunia katika jimbo la Ituri
  • Lubumbashi:hatuwa mpya kwa malori  kwa kuvuka mpaka wa Kasumbalesa katika jimbo la haut Katanga./sites/default/files/2020-04/02042020-a-s-journalswahilisoir17h00-00.mp3