Journal Swahili de jeudi soir 260326

Habari za mangaribi, siku ya ine 260326

  • Jimboni Kivu Kaskazini, katika eneo la Lubero, ina onekana kuwa ,  wanajeshi Wa  AFC/M23 ao  jeshi la Rwanda , Wana jiondoa katika vijiji kazaa , walio kuwa wame kaliya tangu zaïdi Ya Mwaka mmoja. 
  • Mjini Kinshasa, wafanyikazi wanao tumika kwa Wa indo pakistanis ,  ambao walikuwa wamekataa kufanya kazi, tangu Siku mbili  , kwa Sasa  wamerejea kazini , Baada Ya Mazungumzo na waziri Wa Kazi . 
  • Jimboni Kasaï Central , Baada Ya Mvua kubwa iliyonyesha Siku Ya tatu hiii iliopita,  mwanamke Mmoja  mwenye mimba , amefariki , Katika eneo la Savenkas ,  kitongoji,  cha Kamayi .
  • /sites/default/files/2026-03/26032026-p-f-journal_swahili-jeudisoir-web.mp3