Habari za asubuhi, siku ya tano 030426
- Jimboni Ituri Takriban watu makumi tatu na mbili waliuawa, Kati yao , madereva wa teksi za pikipiki, na wafanyikazi wa kampuni ya madini ya eneo hilo.
- Kuhusu malipo Ya wafanya Wa serikali , na Watumishi Wa umma , Kamati inayosimamia malipo ya mishahara yo , ime hakikisha kuwa, wafanya kazi wame pata malipo Yao Ya mwezi Wa pili , na wame anza mchakato Wa malipo ya mishahara , ya mwezi Wa tatu .
- Ukosefu wa vyoo vya umma ama toilettes publiques , Katika wilaya Barumbu , ni tatizo kubwa, la usafi wa mazingira.
- /sites/default/files/2026-04/030426-p-s-journalswahili-vendredimatin-web_bon.mp3







