" Namna gani uchaguzi na mipango mengine yenyi kuelekea uchaguzi huenda kufanyika ? "

Fichier audio : téléchargez Flash pour écouter.

“Namna gani uchaguzi na mipango mengine yenyi kuelekea uchaguzi huenda kufanyika ?”

* Kwanza,tuwakumbusheni kama uchaguzi ni wa kipekee,na hakuna mtu anaweza kuchagua pahali pa mwengine ao kuchagua kwa njia ya kutuma barau.Kuhusu swali lenyikuelekea mwenendo wake, mpango wake si kugumu. Unafika pa offisi ya uchaguzi, pa kuingia,unaonyesha cheti chako cha uchaguzi,kwa watu wenyi kuusika na uchunguzi kwa kujua kama jina lako linapatikana juu ya idadi ya watu waliojiandikisha pa offisi ile.Watu wale wanaitwa wasaidizi wa presidenti wa offisi ya uchaguzi. Kiisha,presidenti wa offisi ya uchaguzi atakupatia cheti cha kuchagua. Unajielekeza pa mahali pa upekee,pahali male manaitwa kataikalugha la kifransa,isoloir, ni nafasi ndogo iliyotayarishwa kwa mtu peke yake ili achague ,na hakunamtu atakaye jua nini ao nani ulichagua. Katika mahali male,utaonya mapenzi yako kwa kutia chapa cha kidole chako kikubwa katika eneo lenyi kuwa wazi kwa upande wa kushoto Ndio ao Hapana. Utakunja cheti chako kwa kufichika uliochagua. Kiisha pale, unaweza kuondoka pa mahali male ma upekee na kujielekeza pembeni ya sanduku, mbele ya washahidi kwa kuingiza binafsi cheti chako ndani ya sanduku ya uchaguzi.

* Kiisha kuchagua ,tunaweza kujua kama hatua yenyi kufata ni gani?.

* Kwa kweli Karine Kakasi, kiisha uchaguzi, hatau yenyin kufata ni ile ya kupekua vyeti vilivyotumbukizwa ndani ya sanduku,kwa shabaa ya kuhesabuna kuelewa kama ni nini ao nani alichaguliwa.Mpango huo unafanyika mbele ya washahidi, wachunguzi wa taifa na wale wakimataifa, na pia mbele ya waliochagua tano ambao watatajwa na chumba cha upekuaji wa vyeti vilivyotumbukizwa ndani ya sanduku.

* Basi wakongomani wengi hutamani kuelewa namna gani mpango ule wa kupekua vyeti utatendeka?
rn* Ni presidenti wa chumba cha auchaguzi ndie anayo madaraka ya akufungua sanduku ya uchaguzi ,mbele ya wanamemba wa chumba kile, washahidi na wachunguzi wenyi kupataikana pale, na apia wachaguzi tano waliotajwa na chumba cha uchaguzi.Atachukua kila cheti na kukipana kwa masaidizi wake amabaye atasoma kwa sauti kubwa yaliyoandikwa ,na kiisha kuyapanga pa nafasi ya NDIO, HAPANA , SIFURU.Na kwa wakati huo wengine wanamemba wa offisi watafanya kazi ya kuhesabu yaliyojulishwa na kujumlisha kila sauti ya ndio ,hapana na sifuru. Kwa mwisho wa mpango huo, presidenti wa offisi ataandika ripoti ya kazi iliyofanyika kulingana na hatua ya komisheni ya uchaguzi huru .Na ripoti ile itasahiliwa na wanamemba wote wa offisi, washahidi wenyi kuwa mahali male wenyi kupenda. Ikiwa washahidi wanaitaji nao kupewa ripoti ni lazima waipewe.

* Basi Dunia ,ulisimulia juu ya cheti chenyi hakina ndio ao hapana,tunaweza kuelewa sababu gani cheti cha uchaguzi huenda kukosa ndio ao hapana?

*Kwa kweli, kunapatikana hali nyingi.Katika hali hiyo kuna vyeti visivyo kuwa sawa na vile vya CEI,vyeti visivyosahiliwa na presidenti wa offisi uchaguzi,vyeti vyenyi kuvutwa na vyenyi miandiko isiyo halali, vyetai vyenyi kuwa na alama zote mbili ndio na hapana,vyeti visivyo kuwa na nafasi ya mchaguzi na vingine visivyokuwa na miandiko isiyo maana na kwa mwisho vyeti vyenyi kupasuliwa.

* Kwa kumaliza . Dunia, mda wa kupekua vyeti vilivyochaguliwa ni gani wakati huo wa kura ya buku la uongozo wa inchi yaani katiba?

* Kulingana na hatua ya kazi katika offisi za uchaguzi ,mda wa kupekua vyeti kwa kura hiyo ya katiba yaani buku la uongozo wa inchi ni wa saa 24, na hiyo ni kufatana na hatau ya kazi katika kila offisi ya uchaguzi. Kwa hiyo vifaa vya kusaidia kwa ahali nzuri ya kazi vitashimikwa na ili mda ule uheshimiwe.Redio Okapi itawajulisha kwa upesi sana rn alama za mwisho wa kura ile ya buku la auongozo wa inchi yaani katiba

Texte de SAMUEL KATSHAKrnOndes CourtesrnTél. : ( 00243 ) 998909787rnE-mail : [email protected] [email protected] en Swahili de DUNIA MUKUNDA