Amani katika jamuhuri ta kidemokrasia ya Kongo, ripoti ya kazi iliyotendwa na serkali na mafaa ya kuwaelemusha watu katika jamuhuri ya kidemokorasia ya Kongo- hayo ndio maoni yaliyochaguliwa huru na waalikwa wetu wa mangaribi ya leo.

Fichier audio : téléchargez Flash pour écouter.

Waalikwa :rn-Martin MUKONKOLE mwanamemba wa chama cha siasa RCDN na ni msimamizi wa upinzani.
-Ignace MUPIRA mwanamemba wa AMP na ni msimamizi wa kundi lenyi kuwa madarakani ;rn-Christian BULAMBO msimamizi wa shirika la rahiya.