Sheria kuhusu kuwahurumia wafungwa, madaraka ya kuchungua kiserkali posta na vyombo vya upashaji wa habari kwa njia ya simu na pia hali ya maisha ya wakaaji wa mtaa wa KAHILO jimboni MANIEMA : Hayo ndio maoni yaliyochaguliwa huru na waalikwa wa leo mang

Fichier audio : téléchargez Flash pour écouter.

Waalikwa :rn-Willy MISHIKI, présidenti wa chama cha siasa Union Nationale des Nationalistes Maï Maï na ni msimamizi wa upinzani ;rn-Pascal Joseph MVULA, mwanabunge la taifa, pia ni mwanamemba wa kundi la wanabunge PPRD na ni msimamizi wa kundi lenyi kuwa madarakani ;rn-Omer LUPEMA, mwanamemba wa shirika la rahiya.