Journal Soir

Habari za siku ya tano jioni tarehe 15/12/2023

  • Marekani inatangaza  kujitolea kwake kwa kuchukuwa hatua zote ili kuazibu  mtu yeyote anayetatiza uchaguzi au kuaribu mchakato huu wa kidemokrasia,
  • Uchaguzi wa Rais: mgombea namba makumi mbili na moja , Martin Fayulu aliwasili jana  siku ya inne katika mji wa Kikwit jimboni Kwilu.
  • Wagombea wawili wa urais walijiondoa na kujiunga na  Felix Tshisekedi. Hawa ni Joelle Bilé na Patrice Majondo.
  • Huko mjini Mbandaka,  wakuu wa polisi mia moja na  makumi tano  walikamilisha mafunzo yao ya kudumisha utulivu wa ummasiku ya tatu .
  • Katika jimbo la Maniema, siku chache kabla ya uchaguzi wa tarehe makumi mbili mwezi wa kumi na mbili, offisi kuu ya CENI jimboni humo inaongeza vikao vya uhamasishaji kwa wakazi.
  • Siku tano kabla ya uchaguzi nchini Kongo , mamia ya  vieti via uchaguzi  vinapatina kwenye ma redio mbalimbali pamoja na ma offisi zingine ya kifedha katika mji wa Bunia.
  • Katika jimbo la Tshopo, mafunzo ya toleo la kwanza la wanafunzi wa kijeshi yalimalizika jana.
  •  
  • Kuhusu Kampeni zidi ya unyanyasaji ya mwanamke , Radio Okapi inaangalia hatua za kimila na desturi katika hali hii.
  • Katika jimbo la Kongo Central, kazi  ya upakuaji ilimalizika jana katika bandari ya kimataifa ya Matadi ya magari saba yaliyokusudiwa usafiri wa reli./sites/default/files/2023-12/151223-p-s-journalswahilisoirgraceamzati-00_web.mp3