Habari za kiswahili za tarehe 180226
- Waziri wa Congo , anaye husika na mambo ya feza Doudou FWamba , ame wahakikishia wananchi kuwa, shughuli za malipo ya mishahara zita kamilika kwa Siku tatu zijazo .
- Katika Jimbo la Kwilu , Watu wanane, kati yao meya wa wilaya ya Panu, wali hukumiwa kifo, Siku ya kwanza hiii tarehe kumi na sita ya mwezi huu wa pili , na Mahakama ya Kijeshi ya Kikwit, ambayo ina mamlaka , ya majimbo ya Kwilu, Kwango, na Maï Ndombe.
- Hatua kubwa imepigwa , katika vita zidi ya malaria jimboni Kasai Oriental. Jimbo hili , lime ongeza rasmi, chanjo mupya ya malaria, kwenye ratiba yake ya kawaida
- /sites/default/files/2026-02/17022026-p-s-journalswahilisoir-web.mp3








