Habari za mangaribi tarehe 180226
- Baada ya kuachiwa kwa wafungwa mia moja na makumi mbili na moja kutoka gereza la Makala, opereshen hii itaendelea . Na hai husiani na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambao, unatawala katika kituo hicho.
- Tarehe kumi na nane ,ya mwezi huu wa pili , Mwaka tulimo , Katiba ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inaadhimisha miaka makumi mbili, tangu kuanzishwa kwake.
- Katika Jimbo la Kivu Kaskazini, mashirika karibu kumi , ya kuwalinda watoto , yana toa wito kwa pande zote , zinazopigania, kusitisha kuajiri watoto.
- /sites/default/files/2026-02/18022026-p-s-journalswahilisoir-web.mp3




