Journal swahili de jeudi matin, 260326

Habari za asubuhi, siku ya ine 260326

  • Waziri wa Masuala ya Kijamii, Hatua za Kibinadamu, na Mshikamano wa Kitaifa Eve Bazaiba , anashiriki Siku Ya tatu hii,  katika kikao cha Kamati ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, kinacho fanyika mjini Geneva.
  • Jimboni Ituri, hali ya afya , inazidi kuwa mbaya,  Baada ya  mashambulizi ya hivi majuzi , ya ADF,  katika eneo la Mambasa.
  • Polisi wa Kitaifa wa Kongo ,  jimboni  Kasai-Central , wame choma kwa moto , kiasi kikubwa kya bangi , mjini Kananga.
  • /sites/default/files/2026-03/26032026-p-f-journal_swahili-jeudimatin-web.mp3