Habari za mangaribi, siku ya kwanza 130426
- OCHA, ina ripoti kuwa , Katika Jamhuri Ya kidemocratia Ya Kongo , Jimbo la Kivu kusini, Lina idadi kubwa zahidi , Ya Wa kimbizi Wa ndani.
- Kundi la manaibu wa majimbo injini KONGO , linasikitishwa na kuto tekelezwa kwa maagizo ya Rais wa Jamhuri, kuhusu malipo , ya mishahara yao.
- Jimboni Kasai Oriental, miili sita eliyo wekwa katika chumba cha kuhifadhi maiti, cha Hospital ya Notre-Dame de l'Espérance, zime achiliwa tangu zaïdi Ya Mwaka Mmoja.
- /sites/default/files/2026-04/130426-journalswahili-lundisoir00_web.mp3




