Journal swahili de mardi soir, 310326

Habari za mangaribi, siku ya pili 310326

  • Saa chache kabla ya mchujo wa ku wania kufuzu kwa Kombe la Dunia,  la Mwaka elfu mbili makumi mbili na tano, uliopangwa Siku Ya pili hii , tarehe makumi tatu na moja , mwezi Wa tatu , Rais  Wa jamhuri , Félix Antoine Tshisekedi,  ame tuma ujumbe  ,  wa kuwatia moyo,  Leopards ya KONGO ,  jioni ya Siku Ya kwanza iliopita. 
  • Jimboni Kivu kaskazini , mapigano makali yana endelea tangu  siku mbili,  kati ya waasi wa AFC/M23 na makundi yenye silaha ya "Wazalendo" katika maeneo kadhaa ya kusini,  mwa eneo la Lubero.
  • Baada ya kusikilizwa kwa mara ya pili, kwa  mganga kiongozi wa Hospitali ya Kinkole, madaktari kadhaa, na mashahidi wawili, Mahakama Kuu ya Kinshasa/Kinkole,  ime amuwa  kuahirisha kesi hiyo , hadi Siku Ya tatu , tarehe moja Ya mwezi Wa ine.
  • /sites/default/files/2026-03/310326-p-s-journalswahili-mardisoir-web.mp3