- Beni:Shambulizi la kituo cha matibabu kwa Ebola pa Butembo na watu wakumiliki silhaa katika jimbo la Nord Kivu
- Goma:Muito ya waziri wa afya Oly Ilunga kwa wanao shambulia timu za kupiganisha ugonjwa wa Ebola jimboni Nord Kivu
- Kananga:Masambo kuhusu kuawa kwa watalhamu wawili wa umoja wa mataifaa leo mjini Kananga katika jimbo la Kasai central
- Goma:Mjibu ya jeshi la taifaa kuhusu ujiwo ya wapiganaji wazamani wa M23
- Kisangani:hali ya maisha ya wahami wa vita wa kijiji Lowa katika mtaa wa Ubundu jimboni la Tshopo
- Kinshasa:Neno mhimu ya shirika la umoja wa mataifaa yausika na malisho na kilimo mwaka huu wa elfu mbili na kumi na kenda./sites/default/files/2019-02/28022019-a-s-journalswahilisoir17h00-00.mp3