- Lubumbashi:Watu wasitembee kwa mda wa siku mbili jimboni Haut Katanga kwa kuepuka virusi vya Corona mwito ya Liwali wa jimbo
- Bunia:Kufungwa kwa mipaka ya Uganda na Kongo ya kidemocrasia
- Kinshasa:Mbunge André Lubaya ana dai hali ya dharura ya kiafya nchini Kongo ya kidemocrasia
- Kinshasa:Maoni ya mtaalam wa kipsychiastri kuhusu swala la Corona virusi
- Butembo:Kusikilizwa kwa wachuruzi wamoja wamoja kuhusu kuongezeka kwa bei ya byashara mjini Butembo humo jimbo la Nord Kivu
- Kisangani:kuongezeka kwa bei ya byashara mjini Isiro
- Kinshasa:Hukumu ya waziri wa zamani wa afya Oly Ilunga
- Kinshasa:Hukumu ya waziri wa zamani wa mji jimbo la Kinshasa GuyMatondo./sites/default/files/2020-03/23032020-s-f-journalswahilisoir17h00-00.mp3