- lubumbashi:mbele ya kikao kuelekea madini huenda kwandaliwa kesho mjini kolwezi katika jimbo la Lualaba
- Kisangani:kesi ya mgonjwa aliezaniwa kuukuwa homa kwa virusi y"ebola mjini Kisangani imetoka burhe humo jimbo la Tshopo
- Beni:OMS inakusudia kushurulukiya jamaa zaw wahanga kwa virusi y'Ebola
- Kananga:mji unajiuunga ndani ya mradi mji bila ukimui ama Sida
- Kinshasa:Ruusa ya watembeza pikipiki hadi saa sita za usiku ila wasisafirisha zaidi ya watu mbili yulu ya pikipiki moja ya mji wa Kinshasa
- Uvira :rangi ya kimanjano katika maji ya ziwa Tanganyika siku hizi mtaani Uvira katika jimbo la Sud Kivu
- Uvira:Mafasirio kuhusu kubadirika kwa ra/sites/default/files/2018-09/11092018-a-s-journalswahilisoir-00.mp3ngi ya maji ya ziwa Tanganyika na mtalhamu wa CRH