Mwanabunge Freddy Maisha kutoka jimbo la Kivu ya Kusini

Katika jimbo la  Kivu ya Kusini, chama cha wavuvi wa Ziwa Kivu kinaonya juu ya hatari yakupoteya  kwa aina ya samaki wanaoitwa Sambaza ikiwa hakuna kitakachofanyika kwa haraka . Uvuvi wa samaki hii  imeshuka sana  .Miongoni mwa sababu,  wataalam wa uvuvi wanataja uharibifu wa mazingira na ukosefu wa usalama katika Ziwa Kivu. Mwanabunge jimboni Fredy Maisha chaguliwa wa eneo la  Idjwi alipendekeza kwa liwali wa jimbo wa mkoa kuandaa mkutano unaokutanisha watu wote wanaohusika  na uharibifu wa mazirngira katika  Ziwa Kivu. Mkutano huo ulifanyika mnamo tarfehe tatu mwezi huu wa kumi na moja  mjini Bukavu katika chumba cha INPP. Fredy Maisha  anazungumza kuhusu suala hilo na Jean Kasami./sites/default/files/2022-11/inviteswahilideputemaisha-web.mp3