Wakuu wa mashirika ya kimaeneo ya tarafa yanayojitegemea katika jimbo la Kivu Kusini walishiriki mafunzo kuhusu utawala wa ndani, uundaji na utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya ndani. Shughuli hiyo ilifanyika katika Kituo cha RIO kilicho pa Nguba kuanzia tarehe moja hadi tatu Desemba mwaka tunao, chini ya usimamizi wa Wizara ya Mipango, kwa msaada wa kifedha wa Shirika la Ushirikiano la Ujerumani GIZ. Mkuu wa ofisi ya Mpango jimboni, Justin Kasholo ndiye mgeni anazungumza na Jean Kasami. /sites/default/files/2022-12/07122022-p-s-invite_justinkasholocdpansudkivu-00.mp3
Justin Kasholo kutoka Bukavu
Recevez Radio Okapi par email
Donnez votre adresse email dans ce formulaire afin de recevoir tous nos articles dans votre boîte email. Vous recevrez un message de confirmation avec un lien sur lequel il vous faudra cliquer afin que l'envoi d'emails devienne effectif.
Si vous ne voyez pas l'email de confirmation dans votre boîte de réception, allez chercher dans vos spams et marquez le message comme "non spam".