Justin Siako, fundi wa miguu bandia kwa ajili ya walemavu katika jiji la Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri. Akiwa mwathirika wa ulemavu kutokana na ugonjwa wa polio, amekuwa akitengeneza viungo bandia vya chuma kwa walemavu tangu zaidi ya miaka kumi na tano sasa. Wakati wa kusherekea Siku ya Watu Wanaoishi na Ulemavu Duniani inayoadhimishwa tarehe tatu Desemba ya kila mwaka, anatueleza kuhusu kazi hii ambayo haijajulikana sana na umma na changamoto zinazoikabili. Justin Siako ndiye mgeni wetu, anazungumza na Ezechiel MUZALIA. /sites/default/files/2022-12/09122022-p-s-invitejutsinsiakoorthoprotesistebunia-00_.mp3
Justin Siako, fundi wa miguu bandia kwa ajili ya walemavu katika mji wa Bunia
Recevez Radio Okapi par email
Donnez votre adresse email dans ce formulaire afin de recevoir tous nos articles dans votre boîte email. Vous recevrez un message de confirmation avec un lien sur lequel il vous faudra cliquer afin que l'envoi d'emails devienne effectif.
Si vous ne voyez pas l'email de confirmation dans votre boîte de réception, allez chercher dans vos spams et marquez le message comme "non spam".