Aimé Matabaro, mratibu wa muundo wa wanawake viongozi katika jimbo la Kivu ya Kusini

Hali ya kijamii na kiuchumi ya viongozi wa  vituo vidogo  via  eneo la  Nyalukemba katika mtaa wa Ibanda mjini  Bukavu inawatia wasiwasi Viongozi Wanawake wa jimbo ya Kivu ya Kivu ya Kusini. Wanawake hawa waliandaa  mazungumzo na wahusika  siku ya tatu tarehe makumi mbili na mbili mwezi uliyopita  katika ofisi ya mtaa  iliyoko nafasi  Mulamba. Mratibu wa muundo huu wa wanawake , Aimé Matabaro ndiye mwalikwa wetu anaye jibu kwa masuali  ya Jean Kasami./sites/default/files/2023-04/invite_swahili_aime_matabaro_web.mp3