Arsène Mumbere Limbadu, kiongozi wa shirika la raia ya eneo la Buliki mtaani Beni

 

Katika  mtaa wa Beni  kijiji cha Kalunguta katika eneo la Buliki kimekumbwa na ukosefu wa usalama kwa wiki kadhaa. Mashambulizi ya watu wenye kumiliki  silaha na mauaji ya raia yanahesabiwa  shirika ya kiraia ya eneo hilo.  Hali hii inasababishwa na nini na viongozi  wafanye  nini ili kuwalinda wakazi wa eneo hili? Ili kulizungumzia swala hili, tunampokea kiongozi  wa jumuiya ya kiraia ya eneo la Buliki. Arsène MUMBERE LIMBADU anazungumza na André KITENGE./sites/default/files/2023-06/invitematin_web.mp3