Daktari Mwanza Nangunia , daktari wa watoto kutoka mji wa Bukavu

Mwalikwa wetu ni Daktari  Mwanza Nangunia , daktari wa watoto kutoka mji wa  Bukavu anayehudumia watoto wenye ugonjwa wa upungufu wa damu SS.  Anazungumza kuhusu ugonjwa huo inchini Kongo. Mwanzi Nangunia  anajibu kwa maswali  ya Emmanuel ELAMEJI wa Kabedi./sites/default/files/2023-06/invite_du_jeudi_web.mp3